30-09-2024
Katika jimbo la Maniema/Kindu, Mchungaji Mombo KAGEMBE amemgomboa Mchungaji Janvier WAZIWAZI kwenye usharika wa CBCA KALIMA. Hii siku ya Mungu, 29.09.2024, wamekabiziana rasmi kazi. Mchungaji WAZIWAZI atarudi kumtumikia Mungu katika Poste Goma.
Tunawatakia wote baraka za Mungu katika utumishi wao !
0 commentaire(s)
Aucun commentaire pour l'instant...